Saad bin Abdullah anasema ya kwamba:- “ Nilimuuliza babake Hassan Ridhaa kuhusiana na Faatuma mtoto wa Mussa bin Jaafar (a.s) kisha akajibu kwa kusema :- (“Amebashiriwa pepo yeyote atakae mzuru”).[1]
Na pia amesema mtoto wa Imamu Ridhaa ya kwamba:- (“Atakayezuru kaburi la shangazi yangu katika mji wa Qom basi amewajibikiwa na pepo”).[2]
Na pia Imam Swaadik amesema hakika mwenyezi Mungu Mtukufu anayo haram nayo iko Makka, na ya Mtume (s.a.w) iko Madina, na na amiirul muuminiina iko Kuufa, na sisi tunayo haram ambayo iko Qom. Na atazikwa hapo msichana katika watoto wangu ambaye atakuwa na jina la Faatuma na atakayemzuru basi amewajibikiwa pepo.[3] Na akaongeza Imamu siku hiyo:- ((“Ni jambo ambalo Imam Mussa hakuwahi kulifanya kwa mama yake))
Na akaendelea kusema (a.s) :- ((“Malipo ya ziara yake ni pepo”))[4].
Na kutoka kwa Saadi anasema ya kwamba amepokea kutoka kwa Ally bin Mussa Ridhaa (a.s):- [5] ((Ewe Saad kwenu mna kaburi?))
Saad akajibu, “Tafadhali unakusudia kaburi la Fatuma bint Mussa (a.s)?”
Imam akamwambia, “ndiyo atakaye mzuru akiwa anajuwa haki zake basi amewajikiwa pepo, na ufikapo kwenye kaburi lake simama upande wa kichwa chake ukiwa umeelekea kibla, na kisha useme:-
Allahu akbaru mara 34, Subhanallah mara 33, Alhamdulilah 33, kisha Imam alisoma ziara yenyewe hadi mwisho kama ifuatavyo.:-5
السّلام على آدم صفوة الله،السلام على نوح نبي الله، السلام على إبراهيم خليل الله, السلام على عيسى روح الله، السلام عليك يا رسول الله, السلام عليك يا خير خلق الله, السلام عليك يا صفيّ الله يا محمد بن عبد الله خاتم النّبييّن, السلام عليك يا أمير المؤمنين علي بن أبي طالب وصي رسول الله, السلام عليك يا فاطمة سيدة نساء العالمين, السلام عليكما يا سبطي الرسول الله وسيدي شباب أهل الجنّة, السّلام عليك يا علي بن الحسين زين العا بدين وقرة عين الناظرين, السلام عليك يا محمد بن علي باقر العلم بعد النبي، السلام عليك يا جعفر بن محمد الصادق البار الأمين، السلام عليك يا موسى بن جعفر الطاهر الطهر، السلام عليك يا علي بن موسى الرضا المرتضى، السلام عليك يا محمّد بن علي التقي ، السلام عليك يا علي بن محمّد النقي الناصح الأمين, السلام عليك يا حسن بن علي, السلام على الوصي من بعده . اللهّم صل على نورك وسراجك ووليّك ووصي وصيّك وحجتك على خلقك.
السلام عليك يا بنت رسول الله، السلام عليك يا بنت فاطمة وخديجة, السلام عليك يا بنت أمير المؤمنين، السلام عليك يا بنت الحسن والحسين, السلام عليك يا بنت ولي الله, السلام عليك يا أخت ولي الله, السلام عليك يا عمة ولي الله، السلام عليك يا بنت موسى بن جعفر ورحمة الله وبركا ته.
السلام عليك عرّف الله بيننا وبينكم في الجنّة، وحشرنا في زمرتكم، وأوردنا حوض نبيّكم، وسقانا بكأس جدّكم من يد علي بن أبي طالب صلوت الله عليكم.
أسأل الله أن يرينا فيكم السرور والفرج و أن يجمعنا وإياكم في زمرة جدّكم محمّدِ صلى الله عليه وآله وأن لا يسلبنا معرفتكم إنه وليّ قديرٌ.
أتقرب إلى الله بحبكم والبرائة من أعدائكم والتسليم الى الله راضيا به غير منكر ولا مستكبر، وعلى يقين مما أتى به محمّد وبه راض، نطلب بذلك وجهك يا سيّدى. اللهّم ورضاك والدّار الآخرة.
يا فاطمة اشفعي لي في الجنة فإن لكِ عند الله شأناً من الشأن.
اللهمّ إني أسألك أن تختم لي بالسّعادة، فلا تسلب مني ما أنا فيه. ولا حول ولا قوّة إلاّ بالله العلي العظيم.
اللهم استجب لنا وتقبله بكرمك وعزّتك وبرحمتك وعافيتك.
وصلى الله على محمّد وآله أَجمعين وسلم تسليماً يا أرحم الراحمين.
وآخر دعوانا أن الحمد لله ربّ العالمين.
Tafsiri ya ziara:- Asalaamu ala Adam sifwati llah.
Asalaamu ala Nuuhi nabiyi Llah,
Asalaamu ala Ibrahim Khalili Llah,
Asalaamu ala Muusa kalimi llah,
Asalaamu ala Isa ruuhi llah,
Asalaamu alaika ya rasul Allah,
Asalaamu alaika yaa khaira lkhalki Allah,
Asalaamu alaika yaa safiyu Allah,
Asalaamu alaika yaa Muhammad bn Abidillah Khaatamu Annabiyyina,
Asalaamu alaika Amirul Muuminiina Ali ibn Aby Twalib wasiya Rasula Allah,
Asalaamu alaiki yaa Fatuma sayidati nisaai fil almiina.
Asalaamu alaikuma yaa Sibtwai nabiyi rahma wa sayidi ashababu al Janna.
Asalaamu alaika yaa Ali ibn Hussaini sayidi al’abidina wa kurata aini nadirina.
Asalaamu alaikum yaa Muhammada bn Ali Baqir alilmi baada Annabi.
Asalaamu alaika yaa Jaafar bn Muhammad Aswadiq barral-amin.
Asalaamu alaika yaa Musa bn Jaafar Twahir-tuhra.
Asalaamu alaika yaa Ali bn Mussa Aridhaa Al-Murtadhaa.
Asalaamu alaika yaa Muhammad bn Ali Takii.
Asalaamu alaika yaa Ali bn Muhammad Nakii naasir Al-amin.
Asalaamu alaika yaa Hassan bn Ali.
Asalaamu ala waswiyi min baadihi.
Allahuma swali ala nurika wasirajika wa waliyika wawaswiyika wahujatika ala khalkika.
Asalaamu alaiki yaa bint Rasula Allah.
Asalaamu alaiki yaa binti Faatuma wa Khadija.
Asalaamu alaiki yaa bint Amirul Muuminiina.
Asalaamu alaiki yaa bint l-Hassan wal Hussain.
Asalaamu alaiki yaa bint waliyu Allah.
Asalaamu alaiki yaa ukhta waliyi Allah.
Asalaamu alaiki yaa ammata waliyi Allah.
Asalaamu alaiki ya bint Musa bn Jaafar warahmatu-Llahi wabarakatuh.
Asalaamu alaiki Arafa Allahu bainana wabainakum fil-jannati wahasharna fi zumratikum.
Wa’auradnaa haudhwa nabiyikum wasakaana bika’asi jaddikum min yadi Ali bn Aby Twalib Swalawati Allahi Alaikum.
As’alu Allah an yuriina fiikum surura walfaraja wa an yajmaana waiyakum fii zukrati Jaddikum Muhammad (s.a.w.a) wa anlaa yaslubana maarifatakum inahu waliyu kadiru.
Atakaraba Ila Allah bihubikum walbaraay’ti man aadaikum warasliim Ila Allah radhiya bihi khairi munkirin wala mustakbirin wa ala yakini maa ataa bihi Muhammadun wa bihi radhwin natlubu bidhaalika wajhaka yaa sayidi Allahumma waidhwaaka waddarul Akhira.
Yaa Fatuma Shfaa ly fii jannati fainna laki inda Allah sha’anan min Sha’anin.
Allahumma inni As’aluka an takhtima ly bisaadati fala taslubu minni maa anaa fihi wala haula wala kuwata ilaa billahi al-aliyyu al-adhwiimu.
Alwahumma stajib lanaa watakabalahu bikaramika waizzatika wabitahmatika wa’aafiyatika.
Waswalla Allahu ala Muhammad wa alihi ajmaina wasalama tasliiman ala yaa arhama ar’raahimiin.
Wa aakhir da’awana Anilhamdulilah Rabbi al-alamiina.